Monday, January 23, 2017

WATU ZAIDI YA 19 WAPOTEZA MAISHA BAADA YA JIMBO LA GEORGIA KUKUMBWA NA KIMBUNGA, RAIS TRUMP ATUMA SALAM ZA RAMBIRAMBI

Image result for tornado HIT GEORGIA JAN 22, 2017
Wakazi wa mji wa Albany jimbo la Georgia wakiwa na hudhuni kubwa baada ya nyumba zao kubomolewa na kimbunga siku ya Jumapili Jan 22, 2017 na inasadikika watu zaidi ya 19 wamepoteza maisha na zaidi ya watu 23, wamejeruhiwa. Rais Donald Trump aliongea kwa simu ya Gavana wa jimbo hilo na kutuma salam za rambirambi na kutoa pole kwa wananchi wa jimbo hilo kwa kukumbwa na kimbunga hicho kilichoikumba mji huo kusini ya jimbo la Georgia inayopakana na sehemu ya kaskazini ya jimbo la Florida.
Image result for tornado HIT GEORGIA JAN 22, 2017
Sehemu iliyoharibiwa na kimbunga hicho.
Image result for tornado HIT GEORGIA JAN 22, 2017
Mmoja ya waathirika wa kimbunga akiwa kwenye majonzi mengi.

Image result for tornado HIT GEORGIA JAN 22, 2017
Nyumba ikiwa imeharibiwa vibaya na kimbunga.
Image result for tornado HIT GEORGIA JAN 22, 2017
Miti ikiwa imeanguka na paa likiwa limeuzuliwa na kimbunga kilichoikumba jimbo la Georgia.

No comments:

Post a Comment